• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATOA MIEZI 2 KWA MANISPAA ILEMELA KUTENGENEZA MAGARI YASIYOTEMBEA

Posted on: June 17th, 2025

RC MTANDA ATOA MIEZI 2 KWA MANISPAA ILEMELA KUTENGENEZA MAGARI YASIYOTEMBEA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa siku 14 kwa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kuandaa taarifa sahihi, mpango kazi pamoja na gharama ya matengenezo ya magari kumi yanayosemekana kutokufanya kazi na kisha watumie muda wa siku 60 kutengeneza magari hayo.

Mhe . Mtanda ametoa tamko hilo leo juni 17, 2025 wakati akizungumza katika Baraza la Madiwani kuhusu hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ambapo amesema ni msimamo wake kila mahali anapofanya kazi huakikisha magari yote ya serikali yanafanya kazi.

“Ninataka magari yote ambayo yamelala yatengenezwe na ninakumbuka niliwahi kuja hapa kufanya oparesheni ya ukaguzi wa magari, sasa nitasiamamia tena”.

Aidha, Mkuu wa Mkoa ameitaka Halmashauri hiyo kuendelea kutekeleza kikamilifu maoni ya kamati ya Bunge, na kuendelea kujibu hoja za CAG ili ziendelee kupungua.

“Nitoe rai kuendelea kushirikiana na Ofisi ya CAG ili kupata ushauri wa namna ya kumaliza au kupunguza hoja”.


Akiwasilisha Taarifa, Mwekahazina wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi. Mariam Mshana amesema Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ilikuwa na Jumla ya Hoja 58, Kati ya hizo hoja za miaka ya nyuma zilikuwa 16 na hoja za mwaka wa fedha 2023/2024 zilikuwa 42, Hoja zilizofungwa baada ya uhakiki ni 42 hivyo hoja zilizobaki hadi sasa ni 16 na wanendelea na mchakato wa kuzifuta.

Akihitimisha kabla ya Mwenyekiti kufunga Mkutano, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ameipongeza Manispaa ya Ilemela kufuatia kupata mtiririko wa Hati Safi za Ukaguzi za CAG kwa kipindi cha miaka sita (6) mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2018/2019 hadi 2023/2024

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS BALANDYA ATAKA MIRADI YA MAENDELEO KUKAMILIKA KWA WAKATI

    June 17, 2025
  • RC MTANDA AAGIZA HOJA ZA KIMAKOSA KUMALIZWA HARAKA

    June 17, 2025
  • RC MTANDA ATOA MIEZI 2 KWA MANISPAA ILEMELA KUTENGENEZA MAGARI YASIYOTEMBEA

    June 17, 2025
  • RAS BALANDYA ATAKA MIKAKATI KUINUA UFAULU WA WANAFUNZI MAGU

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.