• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA ELIMU YA WATU WAZIMA KUJIELIMISHA

Posted on: September 6th, 2024

RC MTANDA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA ELIMU YA WATU WAZIMA KUJIELIMISHA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wananchi  waliokosa elimu ndani ya mfumo rasmi kujielimisha kupitia fursa zitolewazo na mpango wa elimu ya watu wazima ili kupata uelewa.

Ametoa agizo hilo leo Septemba 6, 2024 katika viwanja vya Mirongo Jijini Mwanza wakati akihitimisha juma la elimu ya watu wazima lililoadhimishwa kwa wataalam wa elimu kutembelea vituo vya kutolea elimu na ufundi stadi ndani ya Mkoa huo.

"Tungetamani kuona wana Mwanza na Watanzania wote waliokosa elimu kwenye mfumo rasmi wanapata elimu hiyo kupitia elimu ya watu wazima ili kuondoa ombwe la wananchi wenye elimu na waliokosa ili kuwa na usawa." Mkuu wa Mkoa.

Amesema Serikali inatambua umuhimu wa elimu nje ya mfumo rasmi kwa watu wazima kwa mchango wa ujenzi wa jamii zetu hivyo nawapongeza Wizara ya Elimu kwa usimamizi.

" Serikali inatambua mchango wa elimu ya watu wazima katika kupanua, kuimarisha na kuendesha huduma ya upatikanaji wa elimu kupitia fursa mbalimbali zilizopo". Mkuu wa Mkoa

Naye Kaimu katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndg. Kusirie Swai ametoa rai kwa Magereza nyingine mkoani humo kuiga mfumo wa Magereza ya Butimba kwa kutoa elimu kwa wafungwa wanaoingia gerezani na kuwapatia ujuzi.

Juma hilo la wiki ya Elimu ya watu wazima limeadhimishwa kuanzia  Septemba 4, 2024 na kuhitimishwa leo Septemba 6, 2024 chini ya kaulimbiu isemayo "Ujumuishaji wa Elimu Bila Kikomo kwa Ujuzi Ustahimilivu Amani na Maendeleo".

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.