• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AZITAKA NGO’S KULINDA MILA NA DESTURI ZA NCHI

Posted on: July 25th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali kufanya kazi wakizingatia sheria za usajiri wa mashirika yao na kuhakikisha wanalinda maadili, mila na silka za nchi.

Ametoa agizo hilo mapema leo julai 25, 2025 wakati akizungumza na Mashirika yasiyo ya Kiserikali zaidi ya 150 waliokutana katika Jukwaa la Mwaka la mashirika yasiyo ya Kiserikali kujadili utekelezaji wa kazi.


Amesema ni vibaya kwa mashirika hayo yaliyoaminiwa na kusajiriwa kuingia kwenye mtego wa kuharibu mila za nchi kwa maslahi tu ya kupata fedha bali wanapaswa kwa pamoja kulinda maadili ya nchi.


“Msipokee fedha tu ili kujinufaisha, tekelezaeni majukumu yenu na mtoe taarifa kwa mamlaka zinazowasimamia na hakikisheni mnalinda mila na desturi za kitanzania kwani taifa letu linajipambanua kitaifa na kimataifa kwa amani na maadili mema.” Mhe. Mtanda.

Akizungumzia Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu, Mhe. Mtanda ameyataka mashirika yaliyopata nafasi ya kufanya uangalizi kufuata sheria za Tume Huru ya Uchaguzi.


“Usalama wetu ni kitu muhimu, nchi ikiharibika, amani ikitoweka sisi ni waathirika wa kwanza, ni heri kuwa masikini kwenye nchi yenye amani kuliko kuwa matajiri katika mazingira yasiyo salama”, amesisitiza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • PAZIA LA MAONESHO YA NANENANE LAFUNGULIWA RASMI KANDA YA ZIWA

    August 03, 2025
  • WAKULIMA WAASWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUFANYA KILIMO CHA KISASA

    August 02, 2025
  • RMO MWANZA AONGOZA ZIARA YA MAFUNZO YA USAFI NA MAZINGIRA MKOANI IRINGA

    July 21, 2025
  • RAS BALANDYA ATOA MAAGIZO UTEKELEZAJI WA MIRADI SENGEREMA

    July 30, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.