• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Mwanza azindua msimu wa manunuzi zao la Pamba 2022/2023,atangaza bei elekezi Shilingi 1560

Posted on: May 20th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Mhandisi Robert Gabriel amezindua rasmi msimu wa ununuzi wa zao la Pamba 2022/2023 Kijiji cha Mahaha Wilayani Magu na kutangaza bei elekezi ni Shilingi 1560.


Akizindua kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Johari Samizi amesema Serikali bado inaendelea kumpigania Mkulima kuhakikisha ana neemeka na jasho lake.


"Tuna dhamira ya dhati ya kumkomboa Mkulima,bei ya Pamba msimu uliopita ilikuwa Shilingi elfu moja na hamsini na msimu huu mmeona mabadiliko."


Naye Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza,Anthony Diallo amesema nia ya Serikali ya awamu ya Sita ni kuhakikisha kila Mkulima  anafanya kazi yake katika mazingira mwafaka bila kudhulumiwa na walanguzi wa mazao 


Mkurugenzi wa Bodi ya Pamba Marco Mtunga amebainisha wamejipanga kuongeza kasi ya kusimamia na kuratibu uzalishaji wa zao la Pamba.


Balozi wa zao la Pamba nchini Aggrey Mwanri amesema ataendelea kuzungukia Mikoa yote inayolima zao hilo kumuelimisha Mkulima namna ya kufaidika na Pamba.


Mkoa wa Mwanza unatarajia kuvuna tani 2000 za Pamba msimu huu na Serikali inaendelea kumjengea uwezo Mkulima ili aweze kuvuna tani Milioni moja mwaka 2025.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 05, 2021
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. January 05, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 February 05, 2021
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Gabriel atoa Pikipiki 13 kwa RUWASA na vyombo vinavyotoa huduma za maji Mwanza

    June 29, 2022
  • Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba yatoa dawa Zahanati ya Gereza la Butimba Mwanza

    June 29, 2022
  • Wataalam wa Afya Halmashauri za Mwanza watakiwa kuongeza bidii ya kazi ili kuiboresha Sekta hiyo

    June 29, 2022
  • RC Mwanza azitaka Halmashauri kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha

    June 28, 2022
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.