• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SERIKALI IMETOA BILIONI 31.5 UJENZI WA KITUO CHA KULEA VIPAJI VYA MICHEZO MALYA: RC MTANDA

Posted on: May 10th, 2024

SERIKALI IMETOA BILIONI  31.5 UJENZI WA KITUO CHA KULEA VIPAJI VYA MICHEZO MALYA: RC MTANDA


Rai imetolewa kwa wanamichezo kuendelea kuzichangamkia fursa mbalimbali kwenye sekta hiyo kutokana na Serikali kuzidi kuboresha miundombinu  kwa ujenzi wa kituo kipya cha kulea vipaji vya michezo chenye gharama ya shs bilioni 31.5 kinachojengwa katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo MALYA.

Akizindua jioni hii mbio za Transec Lake Victoria Marathon, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Said Mtanda amesema jitihada za Serikali ya awamu ya sita ya kuboresha sekta ya michezo ina lengo la kuhakikisha tunakuwa na wanamichezo bora.

"Niwapongeze waandaaji wa mbio hizi zenye lengo la kuutangaza utalii ndani ya ziwa Victoria,ni dhahiri mnamuunga mkono kwa vitendo Rais wetu ambaye ameonesha nia ya kuinua michezo hapa nchini," Mkuu wa Mkoa

Amesema sekta ya Utalii ina mchango wa asilimia 17 katika pato la Taifa,na Mwanza imejaliwa kuwa na vivutio vingi vya utalii ambavyo havina budi kutangazwa kwa njia mbalimbali.

"Tumeshuhudia Rais wetu akiutangaza utalii wetu kupitia filamu ya Royal Tour na sasa idadi kubwa ya watalii wanakuja nchini,naamini tukizidi na sisi kutangaza vivutio vilivyopo hapa tutapokea watalii wengi,"RC Mtanda.

Mratibu wa mbio hizo Halima Chake amesema huu ni mwaka wa nne wanaofanya mashindano hayo ambayo yamezidi kuwa na mwamko kwa Jamii

"Mhe.Mkuu wa Mkoa tumepanga sehemu ya mapato kupitia mbio hizi kuwanunulia taulo za kike wasichana 500 waishio katika mazingira magumu wilayani Ukerewe"Mratibu

Mbio hizo zitakazo anza kutimua vumbi Juni 30 mwaka huu ni za km 2.5 zitakazo wahusu watoto chini ya miaka 10,km 5 mshiriki yoyote, na km 10 hadi 21 kwa wale wazoefu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.