• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

shirika la Compassion Conect kutoka Marekani latoa huduma ya Meno na Macho Mwanza

Posted on: August 25th, 2021

Zaidi ya wakazi 2000 kutoka Wilaya ya Nyamagana na maeneo jirani mkoani Mwanza wamepatiwa huduma mbalimbali za kitabibu zinazo husisha vipimo vya macho na meno,bila gharama zozote kupitia shirika la Compassion Conect kutokea nchini Marekani.

Akijiridhisha na utolewaji wa huduma hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel anasema  serikali  inatoa pongezi kwa shirika hili ambalo limejitwika moja kwa moja jukumu la kujali afya za wananchi.


anaongeza kuwa wameleta vitu,vifaa kwa ajili ya kufanya hilo zoezi na wamesema wako tayari kuhakikisha kama tunamahitaji mengine ya pamoja wapo tayari katika kutusaidia kuona namna gani tunaweza kuwahudumia wananchi katika maeneo hayo pia serikali itaendelea kushirikiana na Shirika hilo .

  

Kwa upande wake Afisa Muunguzi kutoka Shirika la Compassion Connect Robert Renatus anaeleza kuwa 

shirika hilo lenye makao makuu nchini marekani na limefanikisha hatua hii ya kutoa msaada kwa watu wanaosumbuliwa na maradhi tofauti.

Anasema mwananchi wamejitokeza kwa wingi lakini baadhi ya matatizo yaliyojitokeza na kuchangia kukwamisha uharaka wa zoezi hilo baada ya mwaamko mkubwa ni watu kukwepa huduma zinazotolewa na madaktari wenye asili ya kitanzania.

"Mtu anatamani angalau akiguswa na mzungu mambo yanakuwa vizuri kuhusu ilo mchungaji alihakikisha kila chumba ambacho kinahudumia wagojwa angalau kuwe na mzungu mmoja na mwafrika mmoja kwa kiasi hicho tumefanikiwa kuhakikisha wagonjwa wanarizika na huduma zetu" anaeleza

Anaongea kuwa Matibabu ya shinikizo la damu, meno na macho ni miongoni mwa huduma kuu zilizotolewa na shirika la hilo ambayo yamedumu kwa wiki moja huku idadi kubwa ya walioshiriki wakitajwa kubainika na matatizo ya macho.

Ezekiel Lupima na Getruda Richard ni baadha ya wananchi walionufaika na huduma hizo za viwango na zisizo na malipo walieleza kuwa walikabiliwa na tatizo la macho kwa kipindi kirefu hivyo huduma walizopatiwa imekuwa ni mwanga katika maisha yao na walitoa shukrani zao kwa shirika hilo .

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.