• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TADB Yazinduliwa kuongeza mtaji kwa wanchi

Posted on: March 19th, 2019


Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Maendeleo ya  Kilimo Tanzania (TADB), Japhet Justin amesema hadi kufikia Februari mwaka huu benki hiyo imefikia mtaji wa Sh.bilioni 68.

Ametoa kauli hiyo leo Machi 19, 2019 katika uzinduzi rasmi wa benki hiyo katika kongani ya kanda ya ziwa unaofanywa na Waziri Mkuu Mhe.Kassimu Majaliwa jijini Mwanza.

Justin amesema kiasi hicho ni sawa na ongezeko la asilimia 13 ya Sh.60 bilioni walizopewa na Serikali mwaka 2015 ilipoanza kufanya kazi rasmi.

"Mpaka sasa tumeshatoa mikopo yenye thamani ya Sh.107 bilioni na kati ya fedha hiyo tayari imesharejeshwa Sh.31.4 bilioni ," amesema Justin.

Ameongeza kuwa katika upande wa kilimo cha pamba kwa mwaka 2018 benki hiyo ilitumia Sh.6.6 bilioni kwa ajili ya kununua pembejeo na viuatilifu kwa wakulima zaidi ya laki 2.

"Upande wa Kahawa tulitumia Sh.30 bilioni na kwa sasa kuna ekari zaidi ya 2000 wilayani Buchosa ambazo zimetengewa zaidi ya Sh. Bilioni 2.

Kuhusu alizeti amesema wametenga Sh. Milioni 800 kujenga kiwanda cha Alizeti wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga na katika ufugaji, benki inatarajia kufungua kiwanda ambacho kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 125 ambapo wametenga Sh.bilioni 8  kwa ajili ya kiwanda hicho.

Ameongeza kuwa  katika sekta ya uvuvi pia wametenga Sh.bilioni 40  ambazo zitakopeshwa katika sekta hiyo ili kujenga viwanda vya kuchakata samaki.

Aidha, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo Rosebert Kulwijila amesema tangu benki hiyo ianzishwe wameshakopesha matrekata 50 kwa wakulima katika mikoa ya kanda ya ziwa.

Amesema jumla ya wakulima 6,864 watanufaika na matreka hayo yanayoendelea kutolewa na benki hiyo ambapo kwa leo pia waziri mkuu atakabidhi matreka 16 kwa viongozi wa vyama vya ushirika

Naye Mkuu wa mkoa wa Mwanza  Mhe.John Mongella amesema Mkoa una benki 28 za kibiashara zenye matawi 26 kwenye halamshauri zote za mkoa huo sawa na zaidi ya asilimi 90 ya benki zote.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.