• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

USAJILI WA ALAMA ZA VIDOLE KWA WAGONJWA KWA KUTUMIA TEHAMA UTABORESHA HUDUMA ZA AFYA-RC MAKALLA

Posted on: July 6th, 2023

USAJILI WA ALAMA ZA VIDOLE KWA WAGONJWA KWA KUTUMIA TEHAMA UTABORESHA HUDUMA ZA AFYA-RC MAKALLA


*Asema usajili utarahisisha tiba na ufuatiliaji wa wagonjwa wa VVU


*Ahaidi Serikali kuiunga mkono Shirika la ICAP kwenye Sekta ya afya kwa ujumla.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA Amos Makalla amelipongeza Shirika la ICAP kwa kutoa vifaa vya TEHEMA kwa ajili ya usajili wa alama ya vidole kwa wagonjwa wa VVU kwenye Halmshauri zote nane Mkoani humo.

Akizungumza kwa niaba yake leo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakati wa kupokea vifaa hivyo,Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe.Amina Makilagi amesema awali kulikuwa na changamoto ya upotevu wa kumbukumbu na ugumu wa ufuatiliaji  kwa wagonjwa wa VVU,lakini sasa huduma hiyo itakuwa na tija.

"Shirika la ICAP mmekuwa mstari wa mbele katika kutoa huduma kwenye vituo vya afya na kwa jamii,hatua hii ya vifaa hivi vya TEHEMA sasa tunakwenda kuimarisha taratibu za usalama,kuboresha taratibu za Utawala na huduma kwa wagonjwa kwa ujumla,"Amina Makilagi,Mkuu wa Wilaya Nyamagana.

"Leo tunakabidhi vifaa hivi vya TEHAMA vyenye thamani ya zaidi ya Shs  milioni 314,lengo letu sisi kama ICAP ni kuiunga mkono Serikali katika kuboresha huduma kwenye sekta ya afya hasa maeneo ya vijijini na kwa jamii kwa ujumla,"amesema Dr.John Kahemele,Kaimu Mkurugenzi mkazi nchini,ICAP.

Naye mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Mhe.Sixbeth Gichagu amebainisha uboreshji wa huduma za afya  ni miongoni mwa Ilani ya CCM hivyo ni wajibu wao kuiunga mkono ICAP katika harakati zao za kuboresha huduma za afya.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.