• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Utapiamlo bado ni changamoto kwenye vituo vya kulea watoto nchini: Katibu Mkuu SMZ

Posted on: February 29th, 2024

Utapiamlo bado ni changamoto kwenye vituo vya kulea watoto nchini: Katibu Mkuu SMZ


Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Wanawake, Wazee na Watoto kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ)  Abeida  Abdallah amesema bado inahitajika nguvu ya wadau wa maendeleo kukabiliana na changamoto ya utapiamlo kwa watoto wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali nchini.

Akizungumza na wafanyajazi kwenye kituo cha Anza kwa Imani kilichopo wilayani Misungwi Mtendaji huyo mwandamizi wa Wizara amesema utapiamlo bado ni tatizo  hivyo amewaomba wadau na wananchi wenye uwezo kusaidia upatikanaji wa mahitaji kwa watoto ikiwemo chakula, mavazi na matibabu.

"Natoa wito Serikali tunahudumia, lakini pia wananchi ambao wanauwezo wajitokeze kusaidia vituo  ili watoto wapate lishe bora" amesema Bi. Abeida.

Katika ziara yake fupi Mkoani Mwanza Katibu Mkuu huyo ametembelea makao ya wazee wasiojiweza yaliyoko Bukumbi wilayani Misungwi  na kutoa Rai kwa wazee hao kuendelea kutunzwa ili waepukane na magonjwa nyemelezi huku akisisitiza ulaji wa mlo kamili pamoja na matumizi ya mboga za majani kwa wingi ili kulinda afya zao  ambao ni tunu kubwa katika Taifa.

Aidha, Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Daniel Machunda akimuwakilisha Katibu Tawala wa Mkoa huo amempongeza Katibu Mkuu huyo kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (smz) kwa kuuchagua Mkoa wa Mwanza kuja kutembelea makao mbalimbali ya watoto pamoja na makao ya wazee Bukumbi ambapo amesema Serikali ya mkoani humo  inaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo kuhakikisha vituo vya watoto pamoja na makao ya wazee Bukumbi wanapata mahitaji stahiki ikiwemo mavazi na chakula.

Naye Grace Chenya ambaye ni Afisa Ustawi Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalumu amebainisha Serikali inaendelea kusimamia na kuhakikisha watoto wanapata malezi bora ikiwemo huduma za afya na elimu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.