• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wadau wakabidhi vifaa vya kujikinga na corona Mwanza

Posted on: May 15th, 2020

MKUU wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amepokea vifaa kutoka  kwa wadau mbalimbali  ikiwa ni sehemu yao ya kushiriki katika mapambano ya kukabiliana, kujikinga  na homa kali ya mapafu  inayosababishwa na kirusi aina ya Covid-19 .

Mongela akizungumza baada ya kupokea msaada huo kutoka Plan International, Railway Children ,TBL pamoja na kampuni ya Kiboko anasema anawashukuru kwa kujitoa kwao kwa kuwa misaada yote itaelekezwa kwenye jamii, watoa huduma na kwa wale waliopo kwenye huduma za tiba.

Anaongeza kuwa ushirikianao unahitajika ili kuwakomboa wananchi na janga hilo na kuomba wadau wengine wajitokeze ili kuiunga mkono serikali na kuokoa maisha ya watanzania huku akiwataka wananchi  wote kuzingatia maelekezo ,kanuni zinazotolewa na Wizara ya afya sambamba na kuzingatia ufanyaji wa mazoezi.

Akizungumza wakati akitoa msaaada huo Meneja wa kitengo kutoka plan International Tanzania Dr Majani Rwambali  anasema vifaa walivyokabidhi ni vifungashio elfu 12000 venye ujanzo tofauti na barakoa 4166 vyote vikiwa na thamani ya 16,858,000 hivyo  wanaendelea kutoa michango yao ili kuisaidia serikali katika maeneo mbalimbali wanapotekeleza miradi yao kama Rukwa,Geita, Kigoma, Mwanza,Pwani,Dodoma,Morogoro pamoja na Dar es Salaam.

Kwa upande wake Meneja mradi shirika la Railway Children Africa Abdalah Issa anasema wametoa magodoro, sabuni na vitakasa mikono ili kuungana na serikali katika mapambano yake ya kuutokomeza ugonjwa huo ambao umeenea  nchini na wanatarajia kuendelea kutoa mchango zaidi kwa mkoa na Halmashauri zote zilizopo mkoani humo.  

Huku Mkuu wa kiwanda cha TBL  Patel Kilovele akieleza sababu za kutoa lita 500 za vitakasa mikono anasema wanaguswa na maisha ya watanzania hivyo msaada huo utasaidia kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo pia alitoa ahadi kwa serikali kampuni yao itaendelea kushirikiana na serikali katika vita na jitihada zakutokomeza ugonjwa huo.

Naye ofisa masoko kutoka Kiboko Paints Atul Mukhraiya akisema Corona na ugonjwa hatari ambao unasamba kwa kasi hivyo wao wamewiwa kutoa matenki madogo 25 kwa ajili ya kutunzia maji ya kunawia pamoja na mabeseni vifaa hivyo vitasaidia wananchi katika maeneo mbalimbali.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.