• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wafanyabiashara Mwanza Waondolewa hofu bei ya Mifuko Mbadala

Posted on: June 1st, 2019

Wafanyabiashara wadogo wadogo wa karanga,viungo na miwa ya kufunga wameishukuru serikali kwa kuruhusu vifungashio vya plastiki vitumike kufungia bidhaa zao.

Awali wafanyabiashara hao walijawa hofu na kuamua kuamishia bidhaa zao kwenye ndoo zinazoonesha wakiofia kuziweka kwenye vifungashio ambavyo ni vya plastiki.

Hata hivyo, hofu yao iliisha  baada ya Afisa Mazingira kutoka Baraza la Taifa la Mazingira (Nemc), Abel Sembeka kusema kuwa vifungashio vinavotumika kufungia bidhaa zao vitaendelea kutumika ili mradi viwe na nembo ya Shirika la Viwango Tanzania, TBS.

“Kuna watu wanawasiwasi juu ya mifuko ya kufungia karanga,miwa,viongo vya pilau na kadharika, vifungashio hivyo havijakatwaza, vitumike lakini baada ya kudhibitishwa na tbs”alisema Sembeka

Riziki Thomas mfanyabiashara wa bisi(popcorn)alisema”Tunaishukuri serikali kwa kutythamini wajasiliamali wadogo kwa kuturuhusu kutumia vifungashio vya plastiki kufungia biashara zetu”

Akizundua rasmi matumizi ya mifuko mbadala na marufuku ya mifuko ya plastiki, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh John Mongella aliwataka wakazi wa mkoa huo kuvumilia bei zilizopo sasa za mifuko hiyo kuwa zitashuka baada ya siku kadhaa kutokana na wafanyabiashara kuanza kuingiza mifuko hiyo mkoani humo.

“Hakuna jambo jipya lililowahi kutokea binadamu asipate mshituko, kutoka na katazo hili, vijana na kina mama mtumie vizuri hii fursa kwa kutengeneza mifuko ya makaratasi” alisema Mongella.

Alisema, kwa mtu yeyote atakaye kutwa na mfuko wa plastiki atauonesha uongozi wa mkoa mahali alipoutolea huku hatua zingine za kisheria zikifuata.

Naye Naibu Meya wa jiji la Mwanza Biku Kotecha alitaka wananchi wasisumbuliwe kwa kupigwa au kuombwa rushwa wakati wa zoezi la kuhakikisha hakuna matumizi ya mifuko hiyo jijini humo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.