• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WAFUGAJI WA KUKU KANDA YA ZIWA WAKUMBUSHWA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI

Posted on: May 3rd, 2024

WAFUGAJI WA KUKU KANDA YA ZIWA WAKUMBUSHWA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI


Wafugaji wa kuku kanda ya ziwa wamekumbushwa kuichangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo mikopo na mafunzo ili kujiimarisha kiuchumi.

Rai hiyo imetolewa leo Mei 3, 2024 na Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Emil Kasagara kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa umoja wa wajasiriamali wa wafugaji kanda ya ziwa (UWAU) kwenye ukumbi wa Nyakahoja na kuwataka wapige hatua na wenye tija kutokana na soko zuri la kuku hivi sasa

"Serikali ya awamu ya sita imezidi kutoa kipaumbele katika shughuli za uzalishaji ikiwemo kilimo,mifugo na uvuvi kwa kutoa fedha nyingi,hivyo ni wajibu wetu kuhakikisha mnazidi kuwa wazalishaji bora na imara kwa kuichangamkia fursa hizo,"Kasagara

Amewashukuru wataalam wa mifugo Lina Feeds kwa kuwajengea uwezo wajasiriamali hao kwa lengo la kuwa wazalishaji wazuri.

"Mkoa wetu una fursa nyingi ikiwemo migodi,tunapokuwa na uzalishaji bora wa kuku na mayai tutaweza kupata soko la uhakika kwenye maeneo hayo,hivyo rai yangu kwenu mzingatie vizuri mafunzo haya," amesisitiza Katibu Tawala Msaidizi

Mwenyekiti wa UWAU Bw.Madaraka Mchunguzi amebainisha wafugaji wengi bado wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo mitaji, mifugo kufa,ukosefu wa masoko na mbinu za ufugaji wenye tija,sasa wana imani ya kuja na matokeo chanya baada ya kupata mafunzo hayo

"Napenda kuwashukuru wawezeshaji hawa kwa kutupatia elimu hii,mifugo yetu ilikuwa inakufa sana na kushuka kwa uzalishaji wetu,tunaomba kupatiwa mafunzo haya mara kwa mara,"David Kitundu,mfugaji.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.