• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wakaguzi wa ndani wajikita kunusuru upotevu wa mapato

Posted on: August 30th, 2021

Wakaguzi wa ndani wa Halmashauri wametakiwa kuangalia viashiria hatarishi katika miradi ambayo serikali imetoa fedha za utekelezaji ili kunusuru upotevu wa mapato.


Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel wakati wa kikao cha miradi ya ujenzi wa vituo vya afya, ujenzi wa vyumba vya madarasa na kusaini mkataba wa nyongeza wa utekelezaji wa mkataba wa lishe.


Amesema haipendezi miradi kuharibika alfu wakatafutana hivyo waanze vizuri kwa kuweka mifumo ya udhibiti na kushauriana ili miradi iende vizuri.


Amesema alizunguka Halmashauri zote na kubaini wakaguzi walikuwa na tatizo la kutokagua miradi yote ambayo inatekelezwa ikiwemo ya serikali kuu.


Hivyo amewaagiza wakurugenzi kuhakikisha kwenye mpango wao wa kutumia fedha bila kujihakikishia usalama wake ni hatari  hivyo wahakikishia mkaguzi wa ndani anatamiza jukumu lake la kimsingi kwenye kukagua miradi yote.


Amesema kuna tatizo kubwa la miundombinu katika miradi ya afya na elimu hivyo fedha zinatakiwa za kutosha sambamba na usimamizi ili kupiga hatua pamoja kuweka nguvu kwenye ukusanyaji wa mapato .


Aidha akizungumzia suala la lishe baada ya kusaini mkataba wa utekelezaji amesisitiza matumizi ya lishe kwa wananchi ili kujenga Taifa lenye afya, kujijenga kiuchumi na kuepukana na magonjwa mbalimbali  ambapo kila mmoja anahitaji lishe ili kuwa na afya bora.


Amesema wamesaini mkataba kwa ajili ya lishe hivyo isiwepo Halmashauri ambayo haitotoa mchango wake kwa mujibu wa bajeti na maelekezo kwa ajili kuhakikisha suala la lishe linatekelezwa .


" Usikute nao wanaotekeleza huu mpango ndani ya jiji wanachangamoto ya lishe kwa sababu vionja vya tatizo  la ukosefu wa  lishe ni kushindwa kufikili na kufanya maamuzi kwa sababu lishe bora inazuia kufanya maamuzi tukiwa na watendaji wengi wanaoshindwa kuelewa vitu kwa uharaka shida hapo ni lishe" anaeleza Mkuu wa Mkoa.


Mwisho.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.