• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WANANCHI TUMIENI KAMBI YA MADAKTARI SEKOU TOURE KUPATA MATIBABU YA KIBINGWA : RAS BALANDYA

Posted on: March 4th, 2024

WANANCHI TUMIENI KAMBI YA MADAKTARI SEKOU TOURE KUPATA MATIBABU YA KIBINGWA : RAS BALANDYA


*Awapongeza Seko Toure kwa kutoa nafasi ya matibabu kwa wananchi*


*Asema kambi ya Madaktari itazidi kuitangaza Hospitali ya Sekou Toure*


*Akiri Magonjwa yasiyoambukiza bado ni tatizo kwa wananchi wengi*


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana leo Machi 4, 2024 amezindua kambi ya Matibabu ya kibingwa kwa muda wa siku nne kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Seko Toure.

Akizungumza na wananchi waliofika kwa matibabu hayo, Balandya amesema hiyo ni fursa ambayo wananchi wanatakiwa kuichangamkia hasa kutokana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari na shinikizo la damu.

Akiambatana kujionea shughuli za kitabibu na Mganga Mkuu wa Mkoa Thomas Rutachunzibwa na Mganga Mfawidhi wa Sekou Toure Bahati Msaki Balandya amebainisha kuwa wananchi wanaofika watazidi kufahamu huduma mbalimbali za kibingwa zinazotolewa hospitalini hapo ikiwemo usafishaji wa damu.

"Hospitali hii ilianza mwaka 1964 ikiwa ni kitengo cha wagonjwa wa nje na mwaka 2010 ikapewa hadhi ya kuwa Hospitali ya rufaa na imekuwa ikipiga hatua na sasa inatoa huduma za kibingwa", Katibu Tawala Mkoa.

"Kwa muda wa kambi hii itawahudumia wananchi wenye bima na wale wasio na bima watapatiwa matibabu kwa bei nafuu na upimaji wa magonjwa ya sukari, Shinikizo la damu, Saratani ya Matiti na Shingo ya uzazi huku VVU hakutakuwa na malipo," Dkt. Rutachunzibwa.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sekou Toure Bahati Msaki ameishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuiboresha kihuduma taasisi hiyo kiasi cha kutoa huduma kwa idadi kubwa ya wananchi


"Mwaka 2014 tulikuwa na wagonjwa 155,718 kwa mwaka na kufikia 246, 627 mwaka 2015 hii ikatulazimu kujenga jengo jipya la mama na mtoto", amefafanua Mganga Mfawidhi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.