• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wananchi wa Misungwi waaswa kumchagua kiongozi anayeguswa na maendeleo

Posted on: September 24th, 2020

Wananchi wa Wilaya ya Misungwi watakiwa kufanya maamuzi ya kweli kwa kumpigia kura kiongozi atakayewaletea maendeleo bila kujali tofauti za vyama .

Mjumbe wa kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa , Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi hao wakati akimuombea kura mgombea Urais wa CCM,Dk.John Magufuli na wagombea ubunge na udiwani wa chama hicho.

Alisema maendeleo hayana chama hivyo ni vyema wakamchangua kiongozi atakaye weza kuchapa kazi na kuleta maendeleo kwa watanzania wote wakimwemo wanyonge.

Alisema wametekeleza miradi mbalimbali ikiwemo,maji ambapo  kwa Sasa wanateknolojia mpya ya kutoa maji ziwani,elimu, Ujenzi wa barabara ambapo wananchi watarajia mambo makubwa ambapo wamemaliza ujenzi kwa hatua za mikoa kwa sasa wameanza za wilaya pia wanaboresha njia zote za usafirishaji ili kukuza uchumi wa wananchi hao.

Pia aliwataka wananchi hao kuwapeleka shule watoto kwani sekta hiyo imeboreshwa kwa kiwango kikubwa pia mchakato wa kujenga mabweni kwenye shule za sekondari unaendelea.

Aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo Charles Kitwanga akizungumza na wananchi hao alisema serikali imefanya mambo mengi ikiwemo ujenzi wa hospitali mpya ambayo fedha zake zimeshaingizwa.

Pia alieleza kuwa barabara ,kutatuliwa kwa changamoto ya maji iliyokuwa ikiwakabili kwa muda mrefu Sasa yanatoka ambapo Billion 12 zilitolewa na Rais Magufuli za mradi wa maji Usagara.

Alisema  mardi wa Usagara wamepokea billion 72 za kutoa maji chanzo Cha Butimba ambapo mkandarasi ameanza kazi itaendelea kufanyika ili kuondoa changamoto hiyo pia alitumia fursa hiyo kuwaomba samahani watu wote aliowakosea .

" Fedha za mradi huo wa maji usagara zimetoka mdogo wangu (Mnyeti) zisimamie hizo fedha zisije zikaenda kusikojulikana usimamie vyema usije ukafanya mambo yetu yale mengine kwa sababu CCM inasimamia maadili" alisema Kitwanga.

Nae Mbunge mtarajiwa wa Jimbo hilo Alexander Mnyeti alisema anachosubili ni kuapiswa ili kuwafanyia kazi wananchi hao na kuwaletea maendeleo na siyo maneno kwani uwezo ,nguvu zote zipo hivyo wanachopaswa ni kumpigia kura mgombea Urais John Magufuli.

Pia aliongeza kuwa ujenzi wa barabara utafungua uchumi wa Misungwi


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.