• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wasimamaizi wa Uchaguzi wala kiapo cha Uadilifu

Posted on: September 12th, 2019


Wasimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 kwa Mkoa wa Mwanza wamekula kiapo cha uadilifu na usimamizi wa uchaguzi huo.

Akitoa maelezo kuhusu viapo hivyo Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza Mhe. Andrew Kabuka amewataka wasimamizi hao wa uchaguzi kuzingatia viapo na kufanya kazi hiyo kwa uadilifu na uaminifu mkubwa.

"Nimepewa jukumu la kuwaapisha wasimamisizi wa Serikali za mitaa nina imani kila mmoja anajua nini maana ya kiapo kwamba ukiishaapa unaahidi kufanya kazi kwa weledi,uaminifu na kwa kutunza siri kwa manufaa ya nchi yetu,"aliseme Kabuka.

Awali akifungua kikao hicho cha wasimamizi wa uchaguzi kula kiapo Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Christopher Kadio amewataka wasimamzi hao  kuzingatia Kanunu za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za mwaka 2019 na Mwongozo wa Uchaguzi ili kuhakikisha kazi hii ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa inafanyika kwa kufuata Kanuni na Mwongozo huo.

"Wasimamizi wa uchaguzi hawa  tunawategemea sana kwa sababu ni nguzo ya kupata kile tunachokitegemea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa,"alisema Kadio.

"Ni mategemeo yetu sote na mategemeo ya Ofisi ya Rais TAMISEMI kama mamalaka ya uchaguzi wa Serikali za mitaa kuwa wasimamizi hawa walioapishwa leo hii watashiriki katika Uchaguzi kwa Maslahi mapana ya Nchi yetu kama amani,demokrasia, mshikamano na umoja."alisema Kadio.

Hata hivyo Kadio amewakabidhi vitendea kazi ili waweze kufanya kazi yao kwa uadilifu ambavyo ni Nakala ya kanuni za Uchaguzi, na Mwongozo wa uchaguzi wa Serikali za mitaa ambapo uchaguzi huo utafanyika Novemba 24 mwaka huu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.