• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WATAFITI WA ZAO LA PAMBA TUMIENI VYEMA FURSA YA KITAALAM KUTOKA BRAZIL-RC Makalla

Posted on: September 19th, 2023

WATAFITI WA ZAO LA PAMBA TUMIENI VYEMA FURSA YA KITAALAM KUTOKA BRAZIL-RC Makalla


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA. Amos Makalla ameipongeza Serikali ya Brazil kupitia mradi wa BEYOND COTTON kwa msaada wa kitaalamu kwa zao la Pamba na kuwataka watafiti wa hapa nchini kutumia vyema nafasi hiyo ili zao hilo liwe na tija zaidi.

Akifungua leo kikao kazi cha pili kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa  cha wadau hao kutoka Brazil Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Mhe.Hassan Masalla amebainisha kutokana na umuhimu wa zao hilo utafiti wa kitaalamu unahitajika zaidi ili mkulima azidi kunufaika na pato la Taifa kuongezeka.

Amebainisha kuwa mradi wa BEYOND COTTON unaokwenda pamoja na namna ya uzalishaji mazao ya lishe wenye gharama ya Shs bilioni 1.4 ukiwa na  muda wa mwaka mmoja na nusu umewanufaisha wakulima wa Pamba zaidi ya elfu kumi  kutoka Wilaya za Magu, Kwimba na Misungwi.

"Nimesikia kuna utaalamu unafanyiwa kazi wa kubakiza maji kwenye udongo,naamini watafiti wetu wakiufanyia utafiti wa kina kwa kushirikiana na wenzetu kutoka Brazil utakuja na matokeo chanya kwenye zao la Pamba",Mhe.Masalla.

"Tanzania tutazidi kupata Pamba bora na mazao ya lishe kupitia mradi huu na kuachana na kilimo cha mazoea, kwani tayari tumefanikiwa kupata vifaa vya kisasa vya kilimo cha zao hilo na uwezo wa kuwaangamiza wadudu waharibifu kama Chawakijani,"Marco Mtunga,Mkurugenzi Bodi ya Pamba.

Akizungumzia kuhusu utafiti Mkurugenzi wa Taasisi ya Kilimo Ukiliguru,Dkt.Paul Saidia amesema kupitia mradi huo umechangia ugunduzi wa mbegu bora na uwezo wa kupamba na magonjwa ya Pamba  na ulimaji bora wa mazao ya nafaka na jamii ya mikunde.

Mradi wa BEYOND COTTON ulianza rasmi mwaka 2022 ukigharamiwa na Serikali ya Brazil ukilenga Wilaya za Magu,Kwimba na Misungwi zinazolima zao la Pamba kwa kuwajengea uwezo wa Kilimo cha kisasa pamoja na elimu ya mazao la lishe.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.