• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WATANZANIA TUIPENDE NCHI YETU - WAZIRI MKUU

Posted on: December 5th, 2025

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB) ametoa rai kwa vijana na wananchi kwa ujumla kuipenda Nchi na kutunza mali ambazo zinazunguka maeneo yao kwa ujumla.

Rai hiyo imetolewa leo Disemba 5, 2025 wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Magu Kata ya Kisesa mara baada ya kukagua baadhi ya maeneo yaliyo haribiwa na vurugu zilizotokea tarehe 29, Octoba 2025 katika Mkoa wa mwanza.

Aidha, amesema serikali itaendelea kuisimamia na kuitekeleza miradi ya maendeleo huku akiutaka uongozi wa Mkoa kuhakikisha wanasimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Mkoa huu.

"Vijana tusirubuniwe hii ofisi mlioichomamoto sio mali ya mtendaji wa kata imejengwa kwa fedha yenu wenyewe wananchi wa wilaya ya kisesa na magu kwa ujumla". Amesisitiza hayo wakati akikagua ofisi ya kata ya Kisesa iliyochomwa moto.

Halikadhalika, amebainisha malengo ya serikali ya kutoa ajira elfu 12 katika sekta za afya na elimu, kuanzisha programu ya bima ya afya kwa wote nchini na kutolipa fedha kwa ajili ya kutoa maiti hospitali ndani ya siku 100.

Awali, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda alimjulishwa Waziri Mkuu kuwa Kisesa ilikua kitovu cha vurugu siku ya uchaguzi kwani vijana waliqnzia hapo kuharibh mali na baadae kusambaa katika maemdeo mengine.

Vilevile Mhe. Mtanda amesema uharibifu iliofanyika katika kata ya kisesa umewakosesha wananchi huduma za kikodi mabaraza ya ardhi mikopo ya vikundi na huduma za kimahakama.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS BALANDYA AMEWATAKA WAHITIMU IFM KUWA MABALOZI WAZURI WA CHUO CHAO

    December 06, 2025
  • RC MTANDA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOPATIKANA

    December 06, 2025
  • SERIKALI YATENGA FEDHA KUKAMILISHA MIRADI YA MAENDELEO MWANZA - DKT. NCHEMBA

    December 05, 2025
  • DKT. NCHEMBA ATOA POLE KWA WANANCHI WALIOHARIBIWA MALI KUTOKANA NA VURUGU MKOANI MWANZA

    December 05, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.