• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WATUMISHI RS MWANZA WAANZA SAFARI YA KWENDA BWAWA LA UMEME MWL NYERERE

Posted on: February 20th, 2025

WATUMISHI RS MWANZA WAANZA SAFARI YA KWENDA BWAWA LA UMEME MWL NYERERE


Watumishi 33 kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wameanza safari ya kwenda kutembelea Bwawa la Umeme la Mwl Nyerere lililopo mkoani Pwani ikiwa ni ziara ya kutembelea baadhi ya miradi mkubwa iliyowekezwa na Serikali.

Akizungumzia safari hiyo leo Februari 19, 2025 kiongozi wa msafara huo ambaye ni Afisa Utumishi Bw. Paul Cheyo amebainisha kuwa ziara hiyo itawaongezea watumishi hao ufahamu wa mambo mbalimbali yanayofanywa na Serikali na utalii wa ndani kwa jumla.


Ameongeza kuwa hii ni fursa nyingine ambayo pia itawaongezea watumishi ari ya kufanya kazi baada ya kupata nafasi ya kubadilsha mazingira.

"Tunatumia muda mwingi kutoa huduma kwa wananchi na wakati mwingine mtumishi anakosa muda wa likizo kutokana na kutingwa na majukumu, naamini ziara hii italeta mageuzi chanya watumishi watakaporudi kazini", amesema Cheyo.


Baadhi ya watumishi hao wakiwa na nyuso za furaha wametoa shukran kwa viongozi wao zkiwemo Mkuu wa Mkoa Mhe Said Mtanda na Katibu Tawala Balandya Elikana kwa kuwapatia nafasi hiyo na kuwaomba wazidi kuwa wabunifu zaidi kwa mambo yenye tija kwa wafanyakazi wakitolea mfano ziara hiyo.


"Hii kwangu ni ziara ya kwanza kulitembelea Bwawa la Umeme la Mwl Nyerere kwa kazi yangu ya kuhabarisha umma kuhusiana na taarifa za Serikali,ziara hii itaniongezea uelewa wa kutosha",Jacob Marcus,Afisa Habari.


"Nimefurahi pia kupata fursa ya kutembelea mradi wa Treni ya kisasa ya SGR na kusafiri nayo kutoka Dar hadi Dodoma,ni utalii wa ndani wa kujionea maeneo mbalimbali ya nchi yetu," Elizabeth Lupindo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.