• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mhe. Majaliwa aagiza Miradi ya Kimkakati ikamilike kwa wakati

Posted on: May 7th, 2022

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amewataka Wananchi kuendelea kuwa na Imani na Serikali ya awamu ya Sita inayosimamia Miradi yote nchini ambayo itakamilika kwa wakati.


Akizungumza Mkoani Mwanza katika ziara yake ya siku moja Mhe Majaliwa amesema licha ya kuwepo changamoto za hapa na pale katika baadhi ya Miradi lakini Serikali imesimama imara kuona Miradi ikikamilika kwa mujibu wa miongozo ya Mikataba.


"Nimefika hapa Mwanza  nimekagua ujenzi wa Meli mpya Meli ya MV Mwanza HAPA KAZI  sijaridhishwa na  mwenendo wa Mkandarasi upo ubabaishaji  niwaondoe shaka Wananchi hakuna kitakacho kwamisha kukamilika kwa Mradi"


"Hapa hatoki mtu hadi tunakabidhiwa Meli hii tulimpa muda wa miezi 22 baada ya kutokea changamoto ya Uviko19" amesisitiza Mhe Waziri Mkuu.


Aidha Mhe Majaliwa ameonesha kuridhishwa na Maendeleo ya ujenzi wa Daraja la JP Magufuli lililopo Kigongo Busisi na kuwataka Wafanyakazi kutanguliza uzalendo kwa kuepuka vitendo vya hujuma katika Miradi ya Maendeleo.

Meli ya Mv Mwanza HAPA KAZI TU inafanyiwa ujenzi na Kampuni ya Gas/Entec kutoka Korea kwa gharama ya zaidi ya Shilingi Bilioni 90.


Akiwa Wilayani Sengerema katika kikao na Watumishi wa Halmashauri za Sengerema na Buchosha,Waziri Mkuu Mhe Majaliwa amewakumbusha Watumishi wote nchini kufanya kazi kwa Uaminifu,Uadilifu na Uwajibikaji.


Amewataka kuwa makini na fedha za Serikali zinazoelekezwa katika Miradi mbalimbali yenye lengo la kuwaletea Maendeleo Wananchi.


Naye Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel amemuhakikishia Waziri Mkuu usimamizi imara wa Miradi yote ya  Kimkakati na kuzikabili hujuma zote zinazofanywa na baadhi ya Wafanyakazi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI.

    May 19, 2025
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANAMALYA KUCHANGAMKIA FURSA YA CHUO CHA MICHEZO

    May 18, 2025
  • NIA YA SERIKALI KILA MWANANCHI AUNGANISHIWE MAJI NYUMBANI KWAKE - WAZIRI MKUU

    May 18, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.