• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wizara iwalete wataalam kufanyia uchunguzi Nyayo za Mtu wa Kale Butimba, ni Kivutio cha Utalii: RAS Mwanza

Posted on: December 27th, 2023

Wizara iwalete wataalam kufanyia uchunguzi Nyayo za Mtu wa Kale Butimba, ni Kivutio cha Utalii: RAS Mwanza


Leo Disemba 27, 2023 Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amempokea Ofisini kwake Naibu Waziri wa Maliasili  na Utalii Mhe. Dastan Kitandula aliyefika kwa utambulisho na kufanya mazungumzo mafupi.

Katika mazungumzo hayo Balandya amesema Mkoa wa Mwanza unaendelea kujivunia, kuvitumia na kutangaza vyema maeneo yote yenye vivutio vya utalii na kuiomba Wizara kuwaleta wataalamu kuona nyayo za mtu wa kale maeneo ya Butimba na kufanya utafiti ili kiwe kivutio kimojawapo cha utalii.

Amesema nyayo hizo zipo kwenye mawe na endapo zitafanyiwa uchunguzi wa kina itakuwa ni miongoni mwa vivutio vingi vya Utalii ndani ya Mkoa wa Mwanza.

"Mhe. Naibu Waziri kwa upande wa uwanja wetu wa ndege ambao utakuwa kichocheo cha kuwaleta watalii wengi, utaanza kufanyiwa ujenzi mwezi Februari mwakani na kukamilika Agosti baada ya Mkoa kuukabidhi kwa mamlaka ya viwanja vya ndege (TAA) ili kukamilisha zoezi hilo", amesema Balandya.

Kwa upande wake Naibu Waziri huyo amebainisha kuwa yupo Mwanza kwa ziara fupi na akiwa hana muda mrefu  kwenye Wizara hiyo analazimika kupita kwenye maeneo mbalimbali na akitoka Mwanza ataelekea Tabora.

"Nimefika Mwanza ili niweze kujionea shughuli na changamoto zilizo kwenye Taasisi zetu na kuzipatia ufumbuzi na mengine kuyafikisha ngazi ya juu kuanzia chuo cha wanyama pori Pasiansi na Chuo cha utalii kilichopo eneo la Isamilo," Mhe. Kitandula.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.