• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA URAIA NA UTAWALA BORA MWANZA

Posted on: March 6th, 2025

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA URAIA NA UTAWALA BORA MWANZA


Wizara ya Katiba na Sheria inaendelea kutoa mafunzo ya sheria kwa watendaji wa Serikali ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa weledi na haki katika halmashauri mbalimbali za Mkoa wa Mwanza.

Wakili wa Serikali Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Dorice Dario akizungumza leo wilayani Sengerema katika mafunzo amesema lengo kuu la mpango huo ni kuhakikisha kuwa watendaji wa Serikali wanapata uelewa mzuri wa sheria ili kutenda haki kwa wananchi pindi wanapo timiza majukumu yao.

Wakili Dario, amesisitiza kuwa kuelekea uchaguzi mkuu nchini ni muhimu kwa kila mtendaji kufuata misingi ya sheria na kuheshimu haki za raia.

“Tunataka kuona watendaji wa kata na maafisa usalama wanatekeleza majukumu yao kwa haki na usawa kupitia mafunzo haya tunaimarisha uelewa wao kuhusu sheria ili kuepusha ukiukwaji wa haki za binadamu,” amesema Wakili.

Naye, Wakili wa Serikali kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Nuru Mwambuli amehimiza watendaji kuzingatia misingi ya 4R za Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan ambayo ni Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi, na Kujenga Upya katika utendaji wao wa kila siku.

Amebainisha misingi hii ni muhimu katika kuhakikisha  haki inatendeka na wananchi wanapata huduma bora za kisheria.

“Uzalendo kwa Taifa letu unapaswa kuwa nguzo ya msingi kwa kila mtendaji wa Serikali. tunapaswa kuhudumia wananchi kwa haki, bila upendeleo, na kuhakikisha kuwa tunapiga vita ukatili wa aina zote,” Wakili Nuru.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.