• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wasimamaizi wa Uchaguzi wala kiapo cha Uadilifu

Posted on: September 12th, 2019


Wasimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 kwa Mkoa wa Mwanza wamekula kiapo cha uadilifu na usimamizi wa uchaguzi huo.

Akitoa maelezo kuhusu viapo hivyo Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza Mhe. Andrew Kabuka amewataka wasimamizi hao wa uchaguzi kuzingatia viapo na kufanya kazi hiyo kwa uadilifu na uaminifu mkubwa.

"Nimepewa jukumu la kuwaapisha wasimamisizi wa Serikali za mitaa nina imani kila mmoja anajua nini maana ya kiapo kwamba ukiishaapa unaahidi kufanya kazi kwa weledi,uaminifu na kwa kutunza siri kwa manufaa ya nchi yetu,"aliseme Kabuka.

Awali akifungua kikao hicho cha wasimamizi wa uchaguzi kula kiapo Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Christopher Kadio amewataka wasimamzi hao  kuzingatia Kanunu za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za mwaka 2019 na Mwongozo wa Uchaguzi ili kuhakikisha kazi hii ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa inafanyika kwa kufuata Kanuni na Mwongozo huo.

"Wasimamizi wa uchaguzi hawa  tunawategemea sana kwa sababu ni nguzo ya kupata kile tunachokitegemea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa,"alisema Kadio.

"Ni mategemeo yetu sote na mategemeo ya Ofisi ya Rais TAMISEMI kama mamalaka ya uchaguzi wa Serikali za mitaa kuwa wasimamizi hawa walioapishwa leo hii watashiriki katika Uchaguzi kwa Maslahi mapana ya Nchi yetu kama amani,demokrasia, mshikamano na umoja."alisema Kadio.

Hata hivyo Kadio amewakabidhi vitendea kazi ili waweze kufanya kazi yao kwa uadilifu ambavyo ni Nakala ya kanuni za Uchaguzi, na Mwongozo wa uchaguzi wa Serikali za mitaa ambapo uchaguzi huo utafanyika Novemba 24 mwaka huu.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.