Posted on: February 17th, 2026
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameongoza mkutano wa uhamasishaji wa kisera kuhusu ukuzaji na uendelezaji wa ushoroba za kilimo, uliofanyika jijini Mwanza.
Mkutano huo umeandaliwa na Wi...
Posted on: February 17th, 2026
Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana ametoa wito kwa Wizara inayoshughulikia vijana kushirikiana na sekta mtambuka kama SIDO na TEMDO kuhakikisha wanaliingiza kundi hilo katika uzalisha...
Posted on: February 16th, 2026
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda leo Februari 16, 2026 amekutana ofisini kwake na Msanii wa Filamu nchini, John Elisha maarufu kwa jina la Hamadi wa kombolela ambaye anatokea mkoani Mwanza.
...