Posted on: May 31st, 2022
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike ameishauri Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba,TMDA kuongeza elimu zaidi kwa jamii kuhusiana na athari za matumizi ya bidhaa zitokanazo na Tumbaku.
...
Posted on: May 30th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel ametoa agizo kwa Katibu Tawala wa Mkoa huo Ngusa Samike kumuandikia barua Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali CAG kuja Mwanza na kuchunguza mwe...
Posted on: May 28th, 2022
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza,Ngusa Samike amefanya ziara ya ukaguzi wa Dawa na Vifaa Tiba Vituo vya Afya Wilayani Sengerema na kuagiza Vituo vyote vya Afya viwe na huduma ya watoto chini ya miaka 5...